Wafanyakazi Vodacom Tanzania yafanya mkutano wa uongozi na namna ya kufanya kazi na makundi mbalimbali ya watu

By Gadiola Emanuel - 6:02:00 AM

Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Stellah Kiwango akitoa mada kuhusu Uongozi na namna ya kufanya kazi na makundi tofauti ya watu katika Mkutano wa siku moja ulioshirikisha wafanyakazi wa idara mbalimbali za Kampuni hiyo uliofanyika jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Stellah Kiwango (kushoto) akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wenzake ikiwa ni sehemu ya utambulisho wakati wa Mkutano wa siku moja wa Uongozi na namna ya kufanya kazi na makundi mbalimbali ya watu uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa masuala ya uongozi ambao pia ni wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimisha mkutano wao wa siku moja uliofanyika jijni Dar es salaam.
Mmoja wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Bw. Charles Erasto akiuliza swali juu ya mada zilizojadiliwa katika mkutano ulioshirikisha wafanyakazi wa idara mbalimbali za Kampuni hiyo wa uongozi na namna ya kufanya kazi na makundi tofauti ya watu. 
na Fullshangwe blog 

  • Share:

You Might Also Like

0 comments