Mashindano ya baiskeli Vodacom Mwanza Open Cycle Challenge yarindima jijini Mwanza...ARUSHA YATISHAA
By Gadiola Emanuel - 1:14:00 PM

Hapa
mshindi huyo wa mbio za Mwanza Open Vodacom Cycle Challenge 2011
kutoka klabu ya Arusha Cycling Richard Laizer akipokea zawadi yake ya
shilingi milioni 1.500.000 kutoka kwa Mkuu wa Udhamini wa Kampuni ya
Vodacom Tanzania George Rwehumbiza mara baada ya kutajwa katika mbio
hizo za kilomita 196 zilizoanzia Busanda mkoani Shinyanga na
kumalizikia Bugando Hills jijini Mwanza.
Picha
kulia ni Steven Kingu Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Kanda ya Ziwa na
kulia kwa George Rwehumbiza ni Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya bia
ya Serengeti SBL. Mdhamini mkuu wa mashiundano hayo ni kampuni ya simu
za mkononi ya Vodacom ikishirikiana na wadhamini wenza kampuni ya bia
ya Serengeti SBL na Kituo cha Radio cha Clouds Fm. 








0 comments