Mgeni Rasmi Mh. Naibu waziri wa elimu aliye vaa shati jekundu akikaribishwa uwanjani
Muheshimiwa Naibu Waziri wa elimu wa kwanza kulia akitazama michezo hiyo pamoja na Mama Bayi , katika mechi kati ya JKT star na timu ya Mbweni wakitafuta mshindi wa tatu ambapo mshindi wa kwanza ilikuwa timu ya Filbet Bayi
Mechi zinaendelea
Mgeni Rasmi akikagua Timu
Mwanaidi Hassani wa kwanza kushoto akiwa na mgeni rasmi
Mgeni Rasmi akiongea na Timu zote zilizo shiriki mashindano hayo
Mwanadada Miley Cyrus ambaye ni nyota wa filamu duniani, yeye aliamua kujichora tattoo ya siasa za kilibelari- kama nukuu kutoka kwa rais "Roosevelt".Siyokwamba mwanadada huyu hajui anayemfuata bali anajua. Maneno yeyewe ndio haya....“So that his place shall never be with those cold and timid souls who knew neither victory nor defeat,”.
Rihanna ni msanii ambaye si mgeni sana katika wino wa kucholea tattoo, na kama wino ungekuwa mtu basi ungekua ni mke na mume. Hizi ndizo tattoo alizochora Rihanna zikiwemo mafuvu, nyota na mauwa ya ki-ribelali .... "Stars swirling down her back, skulls, a Pisces sign, a sanskrit prayer, a tribal piece on her hand, two finger tattoos, the birthday of her best friend and manager Melissa Forde in Roman numerals, a gun, a rebellious flower and a motivational piece of script which reads ‘Never A Failure, Always A Less’ backwards on her shoulder.
Nyota wa Spice girlz a.k.a Mrs Beckham yeye ana tattoo tofauti na wenzake inayoshuka chini ya uti wa mgongo.Tattoo ya nyota huyu maarufu ni shairi kutoka katika biblia inalofahamika kama "Song of Solomon 6:3.
Huyu jamaa ni msanii wa muziki wa pop, yeye ameamua kuchora tattoo yake kuonyesha mapenzi katika muziki wa pop, coz anasema nastahili kuwa mwanamuziki wa pop (inamaana mtukama huyu sii rahisi kubadilika).
Justin Bierber- homa ya kinadada wengi duniani, yeye aliamua kutupia tu tattoo ambayo sii rahisi kwa mtu kuiona au kuitambua, mpaka uwe karibu yake sana.
Redds miss kanda ya temeke Edda Sylivester katikati na mshindi wa pili Catherine Masumbigana kushoto na Flaviana Maeda kulia mara walipotangazwa kuwa Redds Miss Kanda ya Temeke kwenye fainali iliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA Hall usiku wa kuamkia Leo
Warembo wa Miss Redds Kigamboni walioingia Tano Bora wakionyesha Tabasamu zao.
Kim Kardashian attends the E!Channel Brand Evolution event in Paddington in Sydney, Australia.
Kim Kardashian steps out of her car to pick up an ice cream cone from a
local truck in Soho, New York before having dinner with Kanye West .
LADY IN RED! Kurvy Kim Kardashian gives photographers a wave a she steps out of her New York hotel dressed head to toe in red.
Hot couple Kim Kardashian and Kanye West are seen leaving a building in New York's trendy SoHo.
TV personalities Kim and Kourtney Kardashian head back to the car after
attending a church service in Thousand Oaks, California with Kourtneyรs children, daughter Penelope and son Mason Disick.
Kanye west and Kim Kardashian get ice cream before heading to recording studio in honolulu hawaii.
Rapper Kanye West and TV personality girlfriend Kim Kardashian made
their exit after shopping at the Westfield Topanga Plaza in Woodland
Hills, California.
Television personality, Kim Kardashian attends the 2012 BET Awards at The
Shrine Auditorium in Los Angeles, California.
We're
huge fans of the British online retailer's Curve line—it's one of our
favorite fashion-forward, on-trend, affordable, and daring (!) plus-size
fashion collections around. Check out six of our favorite looks from
ASOS Curve this fall—all of which will be available online at ASOS.com this month, priced from $33 to $195.
This
multi-colored houndstooth dress is great on its own—we love a dress
with a sleeve, who wants to fuss with cardigans?—and this pleated skirt
and pullover combo looks super-comfy but cute enough to wear to work:
We're
loving the gentle curve of this cropped-sleeve boucle coat—and the
drop-waist detail in the back is super-flattering. And we're totally
cribbing ideas from this sweater-skirt-and-tights look on the right—a
majorly charmed-up statement necklace makes this simpled black sweater
look runway-ready!
Just in time for Milan Fashion Week, Versace launched its new e-commerce site—selling to the UK, France, Germany, and Italy—today. And it's very cool.
Check it out the English version here at Versace.com.
The
brand's new e-shop will carry clothes, beauty products, handbags,
shoes, accessories, home decor products, and the company's new Young
Versace (yes, kids') collection.
"Versace is about boldness and glamour," Donatella Versace
told WWD. "Online shopping has never been so sexy and fun."
Our favorite part of the new Versace online shop? A section called Donatella's Hot Picks, which features pieces that Versace herself loves and wears—like this £12,065 armor-inspired metallic dress and this £740 signature Medusa medallion giant chain-link necklace.
September 19, 2012 by Niyi Odebode, John Alechenu and Olalekan Adetayo, Abuja
President Goodluck Jonathan
President Goodluck Jonathan on Tuesday resuscitated the controversy, which followed the fuel subsidy removal in January.
Jonathan alleged that the Occupy
Nigeria anti-fuel subsidy removal mass protest, organised by civil
society groups in Lagos in the wake of the removal of fuel subsidy in
January, was manipulated by an unnamed class of people.
He said the protest was not a true reflection of the position of the masses but that of those who sponsored them.
But civil rights groups and an opposition party took a swipe at the President, saying he had alienated himself from the people.
At the 52nd Independence anniversary
lecture on Tuesday, Jonathan also recanted his earlier position
describing himself as the most criticised president in the World.
He explained that he had since
discovered that his earlier position taken during the last general
conference of the Nigeria Bar Association was erroneous.
Earlier, Former President of Ghana, Mr.
John Kufour, delivered the lecture entitled ‘Nigeria: Security,
Development and National Transformation’.
Jonathan said the manner in which the mass protest was conducted smacked of a sinister motive.
He noted that the best musicians and
comedians were hired to perform while participants were served with
choice foods and drinks was an indication that the whole event was
stage-managed.
He said, “Look at the demonstrations
back home, look at the areas these demonstrations are coming from, you
begin to ask, are these the ordinary citizens that are demonstrating? Or
are people pushing them to demonstrate?
“Take the case of Lagos, Lagos is a
critical state in the nation’s economy, it controls about 53 per cent of
the economy and all tribes are there.
“The demonstration in Lagos, people were
given bottled water that people in my village don’t have access to.
People were given expensive food that the ordinary people in Lagos
cannot eat. So even going to eat free alone attracts people.
“They go and hire the best musicians to
come and play and the best comedian to come and entertain. Is that
demonstration? Are you telling me that that is a demonstration from
ordinary masses in Nigeria who want to communicate something to
government?
“I believe that that protest in Lagos was manipulated by a class in Lagos and was not from the ordinary people.”
He took a swipe at the mass media which
he said have been criticising him even during his first six months in
office, saying such belong to the “political media.”
The President attributed most of the criticisms targeted at him to the politics of 2015.
On his earlier claim that he was the
most criticised President in the world, Jonathan said, “I just returned
from Malawi where the President there was complaining that the media
were being hard on her, especially the social media and I told her not
to bother herself.
“Recently, I was talking to the NBA and I
described myself as the most criticised President and when I left, one
of my aides said I am not the most criticised President.
“He downloaded some samples of people
from countries writing against their governments and Presidents and I
said oh, Nigeria is even better.”
Meanwhile, Kufour in his lecture, identified imbalanced development as a major cause of insecurity in Nigeria.
“Naturally, imbalanced development that
involves horizontal inequalities is an important source of conflict and
that is costing Nigeria the opportunity to be the giant nation that it
can and should be,” he said.
The former President said only a government that delivers on security and development could earn its continued stay in office.
He said, “The challenge is to
accelerate the pace of development by using institutions of the federal
Constitution as a nursery ground for producing leaders who are national
in outlook and with a missionary zeal to transform this nation.
“This will help to mold the contending
ethnic and religious groups into harmony and help to remove the
perceived mutual distrust among them.”
Faulting the President, the Campaign for
Democracy, one of the organised of the January protest, said Jonathan’s
statement was provocative.
The CD president, Dr. Joe
Okei-Odumakin, said, “This is aprovocative statement. It is annonying,
insultive. It shows President does not give a damn. Today fuel sells for
N150 per litre.”
Also, the Congress for Progressive Change, said the President’s statement was not surprising.
The party’s National Publicity
Secretary, Mr. Rotimi Fashakin, said, “It is not surprising that this
comment was made by the President because this regime has alienated
itself from the Nigerian people.
Wyclef Jean releases his autobiography, Purpose: An Immigrant's
Story. In the book, the singer not only discusses his career with The
Fugees, he also exposes shocking accusations about lead singer, Lauryn
Hill. Wyclef accuses Hill of being at the root of the group’s breakup by
leading him into believing her first child was his, when it was
actually Rohan Marleys’ [son of the late Bob Marley]. Jean writes, “In
that moment something died between us. I was married and Lauryn and I
were having an affair, but she led me to believe that the baby was mine,
and I couldn’t forgive that.” Purpose can be found in bookstores today. source:MTV.base
African acts P-Square, Spoek Mathambo, D'banj, Amadou & Mariam,
Fally Ipupa, Sarkodie, Cabo Snoop, Camp Mulla, Fatoumata Diawara and The
Very Best have been nominated for a MOBO Award in the Best African Act
category.
The award ceremony will take place on three November at the Echo Arena Liverpool in the UK.
MTV
has unveiled the nominees for its annual celebration of the biggest
musical artists from all over the globe, with reigning pop princesses Rihanna and Taylor Swift topping the list with six and five nods each, respectively.
Africa’s
hottest contemporary artists could also be in the frame for an EMA
award, as Sarkodie, Camp Mulla, Wizkid, Mi Casa and D'Banj fight it out
for a slot in the Worldwide Act category, where they will compete against their peers in India and the Middle East (from Monday 15 October). The final Worldwide Act nominees
from each region (Europe, Latin America, North America, Asia Pacific
and Africa/India/Middle East) will be announced the week of 30 October
and the winner will be named at the show in Frankfurt.
This whole Nicki Minaj, Mariah Carey Shindig is just going to turn out
another X Factor scenario. Demi Lovato Vs Britney Spears.....Mariah
Carey Vs Nicki Minaj.
Heard they have already started the squabble, its going to be an exciting season.
In the Mix is country singer,and husband of the gorgeous Nicole Kidman and AI faithful Randy Jackson.
Who's watching?
MBUNGE
wa Arumeru Mashariki, mkoani Arusha, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Joshua Nassari, ameshikilia msimamo wa
kupiga marufuku Mwenge wa Uhuru kufika jimboni kwake na kuwataka
wananchi kuupuuza akidai hauna tija kwa maendeleo yao.
Aliwataka
wananchi jimboni humo wakae mkao wa kula kwani jitihada za kuyatwaa
mashamba makubwa yanayomilikiwa na wageni, zinaendelea hivyo wawe
wavumilivu.
Bw.
Nassari aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika mkutano wa hadhara wa
Operesheni Sangara uliofanyika kwenye Kata ya Usa River, wilayani humo.
Aliwaataka
wananchi kuupuuza mwenge huo, kutoshiriki kuchangia mchango wowote na
kusisitiza kama mtu yeyote atabughudhiwa kutokana na ujio wa mwenge
amualifu.
“Sioni
sababu ya Mwenge wa Uhuru kukimbizwa maeneo mbalimbali nchini kwani
badala ya kuhamasisha maendeleo, umegeuka sehemu ya ufujaji wa fedha za
wananchi.
“Hali
hii inachangia umaskini wa Taifa na kuhamasiha maovu katika maeneo yote
ambayo mwengu huu unalala, nasema hivi, Mwenge wa Uhuru marufuku kufika
jimboni kwangu.
“Mtu
yeyote ambaye ataombwa mchango kwa ajili ya mwenge muiteni mwizi na
mimi nitakuwa wa kwanza kuuzima baada ya kufika jimboni kwangu,” alisema
Bw. Nassari.
Aliwataka
wananchi hao kuendelea kushiriki shughuli za maendeleo bila kujali
itikadi zao kisiasa na kuihadharisha Halmashauri ya Meru kuzingatia
maadili ya utendaji kazi na kuacha kuwabughudhi wananchi kwa
kuwachukulia bidhaa zao hasa wanapokusanya ushuru sokoni kupitia wakala
wao.
Akizungumzia suala la uvamizi wa mashamba, Bw. Nassari aliwataka
wananchi kuwa wapole kwani anaandaa mkakati wa kuhakikisha ndani ya
miaka mitatu, wamiliki wa mashamba hayo wanakimbia wenyewe ili wananchi
waweze kujitwalia ardhi yao.
Katika
hatua nyingine, Bw. Nassari alisema fedha zilizotengwa na halmashauri
kwa maendeleo Kata ya Usa River, kuanzia Julai mosi mwaka huu hadi June
mwaka 2013, ni sh. milioni 54.3 ambazo zitatumika kuboresha miundombinu
na huduma ya maji safi.
Alisema
ukarabati wa barabara kutoka Usa River hadi Magadilishu umetengewa sh.
milioni nane na barabara za mji mdogo katika kata hiyo zenye urefu wa
kilometa tano, zitagharimu sh. milioni 75.
Katika
mkutano huo, wafuasi 15 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Tanzania
Labour Party (TLP) walitangaza kuvihama vyao vyao na kujiunga CHADEMA. Majira-Na Richard Konga-Arumeru
According to Forbes, these are the top 20 Cash Kings and Queen (Nicki Minaj) of 2012.
1. Dr. Dre: $110 million
2. Diddy: $45 million
3. Jay-Z: $38 million
4. Kanye West: $35 milliom
5. Lil Wayne: $27 million
6 Drake: $20.5 milliom
7. Birdman: $20 million
8. Nicki Minaj: $15.5 million
9. Eminem: $15 million
10. Ludacris: $12 million
11. Pitbull: $9.5 million
12. Rick Ross: $9 million (tie)
13. Wiz Khalifa: $9 million (tie)
14. Snoop Dogg: $8 million
15. 50 Cent: $7.5 million
16. Swizz Beatz: $7 million (tie)
17. Pharrell: $7 million (tie)
18. Young Jeezy: $7 million (tie)
19. Mac Miller: $6.5 million (tie)
20. Akon: $6 million
CP a.k.a CPwaa a Tanzania Music Artist who is famous for setting trends in the Bongoflava industry has once gain been nominated for Africa's biggest Music Awards.."The Channel O Music Video Awards 2012". CPwaa this year has been nominated for his finest music video " Hhmm..." which was shot last year, November 2011 in Johannesburg,South Africa. The video has been nominated for the "Most Gifted Dance Video of the year".CPwaa is however not alone in that category, he is amongst other Africa's biggest hit makers like DJ Cleo ( Facebook) and Davido ( Damiduro) . This is the second consecutive nomination for CPwaa since last year when he was nominated for the first time in "The Most Gifted Video East African Artist" through his last year hit song "Action" ft Ms.Trinity, Dully Sykes and Mangwea. Along with AY, CPwaa will be representing Tanzania in this year's Channel O Music Video Awards.
In other related news.....CPwaa is about to sign a deal with Internationally leading Men fashion designer from Tanzania "Sheria Ngowi" who dressed him on the Channel O Music Video Awards last year and made special designs for CPwaa in his "Hhmm.." video. CPwaa and Sheria Ngowi will work together in steering up the Fashion industry and Music Industry across the Globe.As it started last year..CPwaa will be officially dressed by Sheria Ngowi designs in all his Videos, Concerts, Red carpet and other special appearances. Along the deal comes a new look for CPwaa which will be revealed early October 2012.
Since he released the Club hit " Hhmm..." which has been on top of Tanzanian and other African TV stations' Video charts in 2012. CPwaa hasn't released any new songs or videos. This October, CPwaa is storming the game with two songs at the same time, we can call it a " Double release".In these songs CPwaa, has featured different Artists from Tanzania and U.S.A (Titles for the song and featured Artists currently can not be disclosed). The double release will tag along with a release of his new Video from one of the songs which has been shot here in Tanzania. After that CPwaa is expected to fly to Dubai to shoot another video which will be released before the end of this year.
"I have been quiet for a minute...taking care of other important things in life and of course cooking stuffs for my fans. They have missed me enough and they deserve a new hit, a new video, and a bonus track. As usual my aim is to take Bongoflava to the International Arena. I started Crunk music in Bongo...they followed. I went to shoot my video in SA...they followed. Now am opening doors in the Middle East..Dubai..keep following!" The next destination?...well...."Sky is the limit!!".....said CPwaa.
With all this excitement coming next month, CPwaa is also going to launch his second website. To vote for CPwaa on Channel O Music Video Awards " Most Gifted Dance Video of the year" Text 5F to +27839208406 as many times as you can, charged as a normal local SMS tariffs..
Education minister Mutula Kilonzo has sacked top Education officials in
Homa Bay County over the deadly dormitory inferno that killed eight
pupils at Asumbi Girls Primary School August 24, 2012.
Top Education officials in Homa Bay County have been sacked over the deadly dormitory inferno that killed eight pupils at Asumbi Girls Primary School.
Education minister Mutula
Kilonzo said Friday stern action had been taken after it became apparent
the officials had misled the government over holiday tuition.
"The County Director of
Education for Homa Bay County and the District Education Officer have
been relieved of their duties with immediate effect,” Mr Kilonzo said
during a news conference in Nairobi.
Those fired are Beatrice Asiago who is the county education boss and William Akumu, the district education officer.
Mr Kilonzo also dissolved the school's Board of Governors and announced a new board would be constituted soon.
The minister said he had
written to the Teachers Service Commission (TSC) asking for
administrative action against the Asumbi Primary School head teacher.
He announced the government will prosecute officials found culpable by investigations into the fire incident.
Mr Kilonzo ordered schools to
remove burglar-proof doors in dormitories and academic areas in all
boarding schools around the country.
The eight pupils were among 85 students on holiday tuition.The Ministry is now planning to tour schools across the country to
survey the implementation of the Schools’ Health and Safety Regulations. for the Courtesy of Nation Media
Reigning Miss World Kenya jetted back into the country on
Monday after what can be termed a successful trip to China for the 62nd
edition of the Miss Worldbeauty
pageant.
Shamin Nabil made it to the top 15 finalist hence clinching
the first runners up position as Miss Africa.
Shamin hopes that as a beauty queen, she will “join hands in
fighting the on going battle against drug and substance abuse,” adding, “I
cannot believe that children at the age of 14 years are hooked on drugs. I will
work with the government, NGO’s, media and other organization so as to raise
enough funds in order to be able to treat the victims at a low fee or free of
charge, as most of them live below the poverty line.”
Nachukua fursa hii,kuwashukuru WanaIgunga(Ingawa wengi hawana uwezo wa
kuwa kwenye computer kama mimi na wewe)Nawashukuru wote waliotutia
moyo,nawashukuru hata wale ambao hawakututia moyo,Nawashukuru sana
Uchaguzi Igunga umeisha,mengi yamesemwa na kuandikwa kuhusu mchakato
mzima,kuna mengi sana yalitokea na mimi nimeyashuhudia.Kwanza nikiri
kuwa ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Igunga,kimsingi nilitarijia
Igunga yenye neema,na maisha bora,lakini nilikumbana na UFUKARA wa
kutisha,na maeneo mengine hata Kiswahili hawajui kwani vijana wadogo
sana wa umri chini ya miaka 25 hawajaenda shule,amezaliwa hapo hapo
kijijini,amekulia hapo kijijini,na hajui maisha mengine zaidi ya maisha
ya shida hapo kijijini.Wanawake wanatembea hadi kilometa 15 kufuata maji
ambayo kimsingi si safi wala salama. Lakini katika lindi kubwa la
umaskini wa Igunga,bado serikali ya CCM imatumia mabilioni ya pesa
kurudisha jimbo la IGUNGA,ni wazi siasa za Igunga zilikuwa za nguvu
kupita kiasi,kwa mara ya kwanza katika historia ya Taifa letu
tumeshuhudia uvunjivu,mkubwa wa sheria na katiba.Mimi ni mmojawapo wa
waadhirika wakubwa wa siasa za visasi,na matumizi makubwa ya
nguvu,nilitekwa na vijana wa green guard,na kunitupa porini,baada ya
purukushani kubwa,nikaripoti polisi lakini hakuna hatua
zilizochukuliwa,na mwisho wakanigeuzia kibao et mimi ndio
niliwateka,(Aibu kwa jeshi letu la polisi,historia itawahukumu)
Nimeshuhudia dini ikiingilia siasa,na kuwataka waumini wao kutokichagua
chama fulani,huu ni moto uliopandikizwa kwa makusudi kabisa,yaani chama
tawala kimeishiwa hoja,hata kufikia mahali pa kuwatumia viongozi wa
DINI,ili tu kujihakikishia uhalali wa kubaki madarakani,na bila aibu
viongozi wetu wastaafu,na wazee wa heshima kwenye hili taifa wakakaa
kimya,hakuna hata mmoja aliyekemea tabia hii(Historia itahihukumu ccm
kwa kkupandikiza chuki ya dini kwenye taifa letu,aibu kubwa kwa ccm)
.Nimeshuhudia wanawake wakinyanyaswa na polisi eti tu ni wafuasi wa
CHADEMA,hakuna hata mmoja aliyekemea,DC aliyevunja sheria yeye kwa kuwa
tu ni DC na ni kada wa ccm,akaonekana amedhalilishwa.Nimeshuhudia vijana
wengi wakibambikiziwa kesi,kwa kuwa tu ni wafuasi wa
CHADEMA,ninapoandika sasa kuna vijana watano walishika gari ya
mwenyekiti wa ccm wilaya ya Igunga akigawa hela rushwa,wakaripoti
polisi,na baada ya polisi kukagua gari hiyo wakakuta begi lina zaidi ya
21milion,vijana wale wazalendo wakawekwa chini ya ulinzi,eti ni
wanyanganyi wanotumia silaha,na bila utu wala heshima kwa binadamu
wenzao,polisi wakawapelea Nzega siku ya Ijumaa,hadi Jumatatu
walipopelekwa mahakamani na kusomewa shitaka la unyanganyi wa kutumia
silaha,Vijana wale walisekwa ndani kwa siku tatu bila chakula wala
maji,,u wapi utu wa na usawa wa binadamu?tunaelekea wapi kama taifa?na
misingi gani ya taifa tunajenga? Uchaguzi wa Igunga umekuwa na mengi
ya kujifunza,kwa serikali ya ccm,wametumia rasilimali zetu,kwa ajili ya
Igunga tu,ni aibu kwa ccm na viongozi wake,lakini kubwa na ambalo
sharti wajifunze ni kuwa ,inapofika mahali Chama dola,chenye
serikali,rasilimali pesa,rasilimali watu,uongozi kuanzia balozi wa
nyumba kumi,kulalamikia CHAMA CHA UPINZANI,eti kinagawa hela,eti
kimeingiza makomandoo,na Mungiki,ni wazi kuwa CCM kimepoteza mwelekeo na
sasa kinaelekea kwenye anguko kuu. Kimsingi Dr Kafumu hajachaguliwa
na wanaIgunga,amewekwa na DOLA na DOLA hiyohiyo itamwondoa,ni swala la
muda,kwa ukiukwaji huu wa sheria,kanuni,utu wa binadamu,kamwe hatodumu
kwenye kiti cha DAMU,kwa zaidi ya mwaka. Ni faraja iliyoje kuona
kuwa sasa ukombozi wa pili wa taifa letu u karibu kuliko mategemeo ya
wengi,kuna wengine wataona ni maneno ya kujifariji baada ya kushindwa
Igunga.Lakini huu ndio ukweli na ccm ni mashahidi katika hili,wanajua
nguvu kubwa kiasi gani walitumia kulikomboa na kutunyanganya ushindi
Igunga,na bila msaada wa vyombo vya dola wasingeweza. Uchaguzi
umeisha,kuna majeruhi wengi,na ambao kesho ndio wapamabanaji wa
ukweli,Jambo moja la msingi ni kwamba hakuna wingi wa
silaha,risasi,mabomu,wala vifaa vya kisasa vya kijeshi vinavyoweza
kuzuia umma unaotaka mabadiliko,umma uliochoka,umma unaolilia
ukombozi,na kwa kadri serikali inavyozidi kuminya uhuru na demokrasia
ndivyo umma unavyozidi kuamka na kupigania uhuru wao.Daima tutasonga
mbele Aluta continua….. Na saa ya ukombozi ni sasa.............
Nanyaro Ephata Nanyaro diwani kata ya Levolosi,Arusha-BAVICHA