QUEENS BATON RELAY :MWENGE WA JUMUIYA YA MADOLA WATEMBEMBELEA MUHIMBILI

By Gadiola Emanuel - 5:12:00 AM

Mwenge wa Jumuiya ya Madola (Queens Baton Relay)  umetembelea
Hospitali ya Taifa Muhimbili jumapili ukiongozwa na Mheshimiwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bi. Dianna Melrose pamoja na mshindi wa mbio za kilomita 1500 za jumuiya ya madola Bw. Filbert Bayi.

Mwenge huu umetembelea Hospitalini hapa kwa nia kubwa ya
Kukutana na watoto wanaougua saratani mbalimbali ili kuwapa
matumaini ya kuishi na kwamba jamii inawanathamini. Watoto hawa
wamepata fursa ya kuushika mwenge huu na kupiga picha kama
kumbukumbu muhimu katika maisha yao fuatulia katika picha jinsi
watoto walivyofurahia mwenge huo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Njelekela akipokea mwenge kutoka kwa kiongozi  wa michezo ya Olimpiki kutoka Kenya Bw. Kipchoge Keino
 Dkt. Njelekela akimkabidhi mwenge mtoto anayeugua ugonjwa wa saratani.
 Watoto wakiendelea kufurahia mwenge.
Watoto wakiendelea kufurahia.
 Watoto wakiendelea kufahia.
 Muuguzi akiwa amemsaidia mtoto aliyelazwa wodini kushika mwenge.
 Aliyechuchumaaa kutoka kushoto ni Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bi. Dianna Melrose akiwa na watoto katika mojawapo ya wodi za kulaza watoto.
 Watoto wakishangilia kwa furaha pamoja na ujumbe wa mbio za mwenge wa jumuiya ya madola.
Mtoto aliyelazwa wodini akisaidiwa na muuguzi kuushika mwenge.

  • Share:

You Might Also Like

0 comments