Airtel Tanzania Yatangaza Washindi wa Amka Milionea

By Gadiola Emanuel - 9:37:00 PM

 Meneja uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akitangaza washindi wa promosheni ya Amka millionea kwa mwenzi wa Februari ambapo wateja 40 wameamka mamilione, kulia ni Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde
  Meneja uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa promosheni ya Amka millionea mara baada ya kujaza fomu za uhakiki wa ushindi wa promosheni hiyo.

  • Share:

You Might Also Like

0 comments