ZITTO KABWE AREJEA NCHINI KUTOKA INDIA

By Gadiola Emanuel - 9:08:00 AM


Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Mh. Zitto Kabwe.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Mh. Zitto Kabwe, aliyekuwa amelazwa hospitali nchini India kwa zaidi ya wiki tatu kwa matibabu, amerejea nchini baada ya kupata nafuu na anatarajiwa kuanza kuhudhuria vikao vya Bunge linaloendelea hivi sasa mjini Dodoma, kuanzia leo.

  • Share:

You Might Also Like

0 comments