WABUNGE ,WASANII NA MABONDIA WAJINADI WATAKAVYOFANYA SIKU YA "USIKU WA MATUMAINI"

By Gadiola Emanuel - 9:28:00 AM


Mratibu wa Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013, Abdallah Mrisho 'Abby Cool' (katikati), akiongea na wanahabari leo kuhusu burudani zitakazokuwepo siku hiyo.
Mbunge wa Nzega, Dk Hamis Kigwangala (katikati), akielezea jinsi timu yake ya Simba (wabunge) watakavyoigaragaza Yanga katika mechi yao.
Mbunge wa Igalula, Dkt. Athumani R. Mfutakamba (wa kwanza kushoto), akiwawakilisha wabunge wa Yanga katika mkutano huo.
Mwanamuziki 'Diamond Platnumz' akieleza jinsi atakavyomfunika msanii Prezzo kutoka Kenya.
Afisa Masoko kutoka kampuni ya simu za mkononi Tigo ambao ni mmoja wa wadhamini wa Tamasha hilo, Alex Msigala akiongea na wanahabari jinsi kampuni yake ilivyojipanga kufanikisha Usiku wa Matumaini 2013.
Meneja Uhamasishaji Rasilimali kutoka TEA, Doreen Shekibula (katikati), akipongeza waandaaji wa Tamasha hilo.
Jacob Steven (JB) akionyesha jinsi atakavyomwinua Mhe. Idd Azzan katika mpambano wao wa ndondi.
Msanii Ray Kigosi (katikati) akijinadi kuwa atamvunja taya Mhe. Zitto Kabwe siku hiyo.

  • Share:

You Might Also Like

0 comments