­
­

Photos: Genevieve Nnaji gets a Chieftancy title

By Gadiola Emanuel - 2:22:00 PM
The star actress is now the 'Eze Ada of Amuzu Nweafor in Mbaise, Imo state. She shared the good news on instagram. Congrats to her. ...

Continue Reading

  • Share:

Taswira Muhimu :Rais Jakaya Kikwete Akutana na Diamond Platnumz na Kumpongeza Juu ya Ushindi Wake wa Tuzo Tano za Muziki za Kimataifa Mwaka Huu

By Gadiola Emanuel - 2:17:00 PM
 Rais Kikwete akiwa na msanii Naseeb Abdul “Diamond” baada ya kumkaribisha na kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam jana Jumanne Desemba 23, 2014. Kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Katika Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Hermas Mwansoko, na kushoto ni katibu wa Bodi ya filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo....

Continue Reading

  • Share:

DIAMOND, MZEE YUSUF WAWEKA HISTORIA DAR LIVE

By Gadiola Emanuel - 1:21:00 PM
Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo. Diamond akiwachombeza mashabiki. Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live. Diamond akiwa kwenye jukwaa la kupanda na kushuka. Mfalme Mzee Yusuf on da stage. Mfalme akiwapa 5 mashabiki wake waliofurika Dar Live. Mzee Yusuf akiwadatisha mashabiki kwa ngoma zake kali. Nyomi ikiwa imedata na shoo kali kutoka kwa Mzee...

Continue Reading

  • Share:

Dangote Loses $7.8 billion as Naira, stocks plunge

By Gadiola Emanuel - 1:35:00 AM
According to a report by Forbes, Dangote, Tony Elumelu and Jim Ovia lost a lot of money as a result of the devaluation of Naira. The Forbes report by Mfonobong Nsehe below... A few weeks ago, the Governor of the Central Bank of Nigeria, Godwin Emefiele, announced a nearly 10% devaluation of the Naira, Nigeria’s currency, after admitting that a plunge in world...

Continue Reading

  • Share:

Happy Birthday To Me, Gadiola Emanuel

By Gadiola Emanuel - 3:44:00 PM
Nakushukuru sana Mungu kwa Kunifikisha siku ya Leo. Nakushukuru Mama yangu mzazi kwa kunizaa , kunilea na kunitunza (japo Umepumzika ila bado nakumbuka Maonyo yako siku zote za maisha yangu ). Nakushukuru Mke wangu kipenzi Upendo Gadiel na Mwanangu kipenzi Glory Gadiel kwa Kuwa nami katika changamoto zote za Maisha yangu, ki ukweli nawapenda Sana. Nawashukuru Ndugu, Jamaa na Marafiki kwa kuwa nami...

Continue Reading

  • Share: