BONANZA LA VYOMBO VYA HABARI KUFANYIKA NJIRO,ARUSHA

By Gadiola Emanuel - 9:08:00 AM

Katibu wa Taswa Arusha Bw. Mussa Juma akiongea na
waandishi wa habari kuhusiana tamasha la taswa linalotarajiwa
kufanyika kesho katika kiwanja cha general tyre
TASWA FC toka Dar Es Salaam, wakiwa safarini kuja Arusha Kwenye Bonanza la Vyombo vya habari utakao fanyika kesho  katika viwanja vya General Tyre-Njiro Arusha.

  • Share:

You Might Also Like

0 comments