HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE AENZIWA NA MHE. GODBLESS LEMA, MHE. CHRISTOPHER OLE SENDEKA NA MHE. EDWARD LOWASSA HUKO MONDULI, ARUSHA

By Gadiola Emanuel - 6:11:00 AM




 "Dickson Marwa"kutoka katika Club ya "Holili"  ndiye mshindi wa kwanza katika mbio za kilometa 10 za kumuenzi hayati "Edward Moringe Sokoine" zilizofanyika Monduli Arusha.
Mzee wa Kimasai akimalizia mbio ,huku akishuhudiwa na Mratibu na Mwanaharakati wa Mashindano hayo Bw. Wilhelm Gidabuday ( mwenye Jezi ya Bluu) na mzee Kamili kushoto kwakwe katika mbio hizo za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.

 Mshindi wa pili "Leonard John" (mwenye nyeusi kushoto) kutoka katika Club ya (Winning Spirit) akiwa na mshindi wa tatu "Msenduki Mohamed" kutoka katika Club ya (Hakika) wakiandikishwa mara baada ya kumaliza mbio za kilometa 10, katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.

 Mshindi wa kilometa 10 kwa wanawake - Catherine Lange akiwa akihojiwa na waandishi wa habari ,katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.
 Mshindi wa kilometa 10 kwa wanawake - Catherine Lange akihojiwa na TBC1 katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.
 Mshindi wa kilometa 10 kwa wanawake - Catherine Lange akipokea tuzo na waziri wa Habari ,michezo na Utamaduni Dr. Fenella Mukangara katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.

Mshindi wa pili katika kilometa 10 kwa wanawake kwa wanariadha wa Kimataifa, akiandikishwa mara baada ya kumaliza mbio, katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.

 Mshindi wa kwanza kwa Wanafunzi wa wilaya ya Monduli kwa wasichana kilometa 2 (kulia) Irene Simon akiwa na mshindi wa pili (kushoto) Hapiness Charles katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.
 Mshindi wa kwanza kwa Wanafunzi wa Wilaya ya Monduli Wanaume (kulia) ni Nganeni Shilalo akiwa na mshindi wa pili Lewanga Melita na watatu  Lonyoike Tulito katika mbio za  kilomita 2 ,katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.

Mshindi wa tatu (kushoto) Ngeani Ng'arde, kwa Wanafunzi wa wilaya ya Monduli wasichana katika mbio za kilometa 2 akiwa na mshindi wa pili ,katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.
Mbunge wa Simanjiro Mhe. Christopher Ole Sendeka akishiriki mbio za 'Moringe Sokoine Mini Marathon 'katika mbio hizo za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.
  Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Godbless Lema mwenye ngwanda na namba kifuani katika mstari wa kuandikishwa baada ya kumaliza mbio za kilometa 2 za 'Moringe Sokoine Mini Marathon 2013' katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.Mbele yake ni Seria Tumainiel (Wiki Likis) Mmiliki wa blog ya Arusha 255 nae alishiriki mbio hizo.
Waziri wa Habari ,Michezo na Utamaduni Dr. Fenella Mukangara akiwahutubia mamia ya watu waliohudhuria siku ya kumbu kumbu ya kutimiza miaka 29 ya hayati waziri mkuu "Edward Moringe Sokoine" huko Monduli, mkoani Arusha.

Waziri Mukangara aliwaomba wananchi kuikumbuka siku aliyofariki Edward Sokoine 12/4/1984 pamoja na mema aliyowatendea wananchi wake.


Kutoka kushoto:ni Waziri wa Habari ,Michezo na Utamaduni Dr. Fenella Mukangara ,Mhe. Edward Lowassa, Mhe. Namelok Sokoine(viti maalum na mtoto wa hayati Edward Sokoine) na Mhe. Christopher Ole Sendeka katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.
Viongozi na wanafamilia wakishuhudia matukio ya michezo yaliyokuwa yakiendelea, katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.
Kutoka kushoto:Mh. Godless Lema , Waziri wa Habari ,Michezo na Utamaduni Dr. Fenella Mukangara ,Mhe. Edward Lowassa, Mhe. Namelok Sokoine(viti maalum na mtoto wa hayati Edward Sokoine) na Mhe. Christopher Ole Sendeka katika mbio za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.
Mzee wa kimaasai akimalizia mbio ,huku akishuhudiwa na Mwenyekiti wa riadha Mkoa wa Arusha Bw. Joseph Jorwa katika mbio hizo za kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine Monduli ,Arusha.

  • Share:

You Might Also Like

0 comments