AIRTEL YATOSHA YAZINDULIWA CHALINZE , PWANI.

By Gadiola Emanuel - 9:22:00 AM


    Meneja mahusiano wa Airtel-Tanzania akimsikiliza mmoja wa wakazi wa mji wa Chalinze-Mkoa wa Pwani namna anavyoweza kujiunga na kuitumia huduma mpya ya Airtel Yatosha,wakati wa tamasha la uzinduzi wa huduma hiyo yenye bei nafuu ,lililofanyika mkoa wa pwani kwa  siku  wa mbili (Jumamosi & Jumapili),  katika viwanja vya sokoni chalinze.
  Anaitwa Sir Juma Nature a.k.a Kibra akiongoza mashambulizi makali ya kundi lake la TMK-Wanaume Halisi kama umuonavyo jukwaani mbele ya umati mkubwa wa wakazi wa mji wa Chalinze-Mkoa wa Pwani mwishoni mwa wiki,wakati wa tamasha la uzinduzi wa huduma mpya ya  Airtel Yatosha,lililofanyika mkoa wa pwani kwa mda siku  wa mbili (Jumamosi & Jumapili),  katika viwanja vya sokoni chalinze.
 Mmoja wa wasanii mahiri wa Hip hop kutoka kundi la Tip Top Connections,ajulikanaye kwa jina la kisanii,Madee a.k.a Rais wa Manzese akionesha umahiri wake wa kukamua vilivyo jukwaani mwishoni mwa wiki,wakati wa tamasha la uzinduzi wa huduma mpya ya  Airtel Yatosha,lililofanyika mkoa wa pwani kwa mda siku  wa mbili (Jumamosi & Jumapili),  katika viwanja vya sokoni chalinze. 
  Msanii wa miondoko ya muziki wa kizazi kipya,hip hop,Fid Q pamoja na Meneje Mauzo wa kampuni ya simu za mikononi ya Airtel Kanda ya pwani ,Bwa.Aluta Kweka wakimkabidhi fulana mmoja wa mashabiki wa Chalinze,kwa kuimba vyema mashairi ya msanii Fd Q.
   Sehemu ya wakazi wa mji wa Chalinze-Mkoa wa Pwani wakishuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya  Airtel Yatosha,lililofanyika mkoa wa pwani kwa mda siku  wa mbili (Jumamosi & Jumapili),  katika viwanja vya sokoni chalinze.

Mmoja wa wasanii mahiri wa Hip hop nchini,ajulikanaye kwa jina la kisanii,ney wa Mitego akitumbuiza jukwaani mwishoni mwa wiki,wakati wa tamasha la uzinduzi wa huduma mpya ya  Airtel Yatosha,lililofanyika mkoa wa pwani kwa mda siku  wa mbili (Jumamosi & Jumapili),  katika viwanja vya sokoni chalinze.
 Baadhi ya mawakala wakiendelea kuwasajili wateja wa Airtel kupitia huduma zote zitolewazo na kampuni hiyo,ikiwemo  huduma ya .Airtel Yatosha,ambapo Mteja anajiunga kwenye huduma hiyo kwa kupiga *149*99#.

  • Share:

You Might Also Like

0 comments