RAIS Dr. JAKAYA KIKWETE AZINDUA MIRADI YA BARABARA MANYONI-ITIGI-CHAYA na ISSUNA-MANYONI MKOANI SINGIDA LEO

By Gadiola Emanuel - 9:17:00 AM


 Sehemu ya barabara mpya iliyozinduliwa na Rais Kikwete karibu na mji wa Katesh mkoani Manyara
 Sehemu ya barabara mpya karibu na mji wa Manyoni iliyozinduliwa leo na Rais Kikwete
Sehemu ya barabara mpya iliyozinduliwa na Rais Kikwete mkoani Manyara
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua ujenzi wa Barabara ya Manyoni-Itigi-Chaya mkoani Singida
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua  ujenzi wa Barabara ya Manyoni-Itigi-Chaya mkoani Singida . Pembeni yake kulia ni Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi barabara ya Issuna-Manyoni akiwa na viongozi wa serikali na wa TANROADS pamoja na wabunge wa mkoa wa Singida
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa  Barabara ya Manyoni-Itigi-Chaya mkoani Singida
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na viongozi wa serikali na wa kampuni ya ujenzi baada ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Manyoni-Itigi-Chaya mkoani Singida.Picha na IKULU

Gadiola Emanuel

  • Share:

You Might Also Like

0 comments