MAANDALIZI YA REDDS MISS TANZANIA 2012

By Gadiola Emanuel - 9:00:00 AM


Jukwaa Umepambwa na umepambika.
Taa za kutosha zinazomulika Jukwaa hilo.
Meneja wa Kinywaji cha Redd's Original,Victoria Kimaro akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Habari wa Miss Tanzania,Hidan Ricco kuhusiana na maandalizi ya Shindano la Redd's Miss Tanzania 2012 linalotajariwa kufanyika kesho kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar.
Kamera ni za kumwaga kutoka kwa Star Tv ambao watarusha tukio zima la Redd's Miss Tanzania 2012.
 
Hili ndilo Van la Star Tv ambalo ni maalum kwa kurusha kila kitakachokuwa kikiendelea ukumbini hapo.
Mashine za Kisasa ndani ya Van hiyo.
Wadau wakiangalia Van ya Star Tv.
Mafundi Mitambo wakiweka sawa mambo. Pics by 8020 Fashions

  • Share:

You Might Also Like

0 comments