YANGA YAKABIDHIWA JEZI ZENYE NEMBO MPYA

By Gadiola Emanuel - 9:07:00 AM


Meneja Mahusiano ya Nje wa kampuni ya Simu za mkononi VODACOM, Salum Mwalimu akionesha jezi walizokabidhi kwa klabu ya Yanga zikiwa na doa jeusi.
Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Laurence Mwalusako (kati) akipokea jezi walizokabidhiwa na Vodacom zikiwa na doa jeusi kutoka kwa Meneja Mahusiano ya Nje wa kampuni ya Sima za mkononi VODACOM, Salum Mwalimu (kushoto). Kulia ni Ofisa Udhamini wa kampuni hiyo, Ibrahim Kaude
(Picha na Habari Mseto Blog)

  • Share:

You Might Also Like

0 comments