TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA MALAWI, JIJINI MWANZA LEO

By Gadiola Emanuel - 5:48:00 AM


Viongozi mbali mbali pamoja na Timu zote mbili wakiwa wamesimama kwa dakika chache kumkmbuka Kiongozi wa mpira wa Miguu, Aliyetangulia mbele ya haki, Kocha wa zamani wa Timu ya Taifa Star, Marehemu Sylvester Marsh aliyefariki dunia hivi karibuni katika Hospitali ya Muhimbili na kuzikwa Mjini Mwanza.PICHA ZOTE NA FAUSTINE RUTA WA BUKOBA SPORTS.
Viongozi mbalimbali waliojitokeza katika Mpambano huo wa Taifa Stars na Malawi CCM Kirumba Jijini Mwanza leo Jumapili tarehe 28.03.2015
Wimbo wa Taifa uliimbwa kabla ya Mechi kuanza, (Picha na Faustine Ruta)
Timu zote mbili kwenye mstari tayari kwa kuanza kipute
Kikosi cha Malawi baada Wimbo wao wa Taifa kumalizika kuimbwa
Kikosi cha Taifa Stars kikiimba wimbo wa Taifa
Viongozi wakisalimia Mashabiki walioingia kwa Wingi Uwanjani hapo CCM Kirumba, Picha na Faustne Ruta
Timu zikisalimiana
Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza
Waamuzi wa Mtanage
Kikosi cha Malawi
Tayari kwa mpambano kuanza..
Shilingi kutafuta uelekeo
Picha ya Pamoja

  • Share:

You Might Also Like

0 comments